


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Karibu Lula,
ReplyDeleteKaribu mwanamapinduzi!
this man is a real great leader viongozi wa kitanzania wajifunze kwake
ReplyDeleteHawa jamaa tofauti na soka ila wameendelea kiuchumi.Tushirikiane nao hata watusaidie katika kilimo ili tuendeleze mpango wetu wa kilimo kwanza.
ReplyDeleteEl presidente Luiz Inacio Lula da Silva, bienvenido a Tanzania
JK tunaona juhud zako,umeipa nchi yetu heshima na umaarufu ambao ulipotea kabisa.kipindi cha miaka ya 70 tz iliheshimika umo,watu maarufu duniani waliangalia tz moja ya ngao kuu ya africa,tuliona watu kama,malcolm x,fidel castro,mohamed ali, na wengine wengi,lakini mika ya 80 viongozi wote maarufu waliishia kenya,na tz ilionekana nchi iliyokata tamaa.now tz imeanza kurudisha heshima yake,na viongozi wengi duniani wanaamini ni moja ya nchi zenye democrasia na kupiga hatua kubwa africa.JK hongera baba japo wengi hawakukubali nyumbani,kumbuka nabii halubaliki nyumbani
ReplyDeletekweli jamaa mwanamapinduzi,juzi amekataa kusign iran kuwekewa vyikwazo,nafurahi kuona viongozi hawa wamewashtukia wazungu wanatunyonya tu hamna zaidi,Lula ameinyanyua brazil vibaya,na anawawekea kiburi wazungu vibaya,naona mshirika wake mkubwa ni uturky.hawa jamaa ndo wameshtuka waangalia maslahi sio siasa,udini,ukabila kama nchi za africa.ukiangalia brazil ni taifa la kikatoliki,lakini wako bega kwa bega na mturuki ambayo ni taifa lla kiislam.maslahi mbele,ili wananchi waishi maisha mazuri mambo ya dini na rangi baadae.brazo lula
ReplyDeletejamaa aliipanga trip hii akijua ataishia south kuona brazil fainal.kweli dunga sucks!!
ReplyDeleteTALK ABOUT INVESTMENT FROM BRAZIL TO TANZANIA ILI KUSAIDIA VIJANA NA WATU WOTE KWA UJUMLA MASWALA YA KAZI HASA UPANDE WA KILIMO NA BIO-FUEL, PIA ELIMU KWA VIJANA NA MTU YOYOTE ANAYEPENDA KUSOMA BRAZIL
ReplyDeletethe most liked president in brazilian history. JK jifunze kwa mwenzio, hakumbatii mafisadi...
ReplyDeletehuyo mfasiri/mlinzi wa Raisi Lula ni pacha wake maana wamefanana sana. Wadau wa Rio De Janeiro tupasheni.
ReplyDeleteMdau
Gongo La Mboto
..hicho ndo kichwa ambacho mataifa makubwa..yamekinyoshea mkono....nchi zote zimedumbukia katika recession....yeye haha...aka...nchi yake inapeta...uliza ni nini siri ?....kilimo...! sio kama wana ardhi nzuuuuuri kupita sisi....wamejaribu kusaidia kwa moyo wakulima na kuwatafutia masoko ya nje....wenzangu na mimi mmhh...wanamind saaaana 10%..na kwenda nje kutoa matongo...wakirudi..bwechee...bwetee...!!
ReplyDeleteWeusi wa Brazil wanashida kama vile enzi za Apartheid Afrika Kusini! Halafu homeless na wasio na kazi wako wengi mno! Msidanganywe!
ReplyDeleteBrazil inatafuta njia ya kutajirika na nchi za kiafrika kama Tanzania ambazo haziko makini.Ni rahisi sana kuchota raslimali Tanzania na kuwa tajiri miaka michache.ukiwa na exposure na ukirudi Tanzania ni rahisi kutengeneza fedha nzuri,njia za kupata fedha kihalali ziko ila mawazo yanakosekana miongoni ya Watanzania.Brazili uchumi unamilikiwa na watu wachache tu na mchawanyiko wa uchumi hauko sawa kabisa.
ReplyDeleteUmasikini umetawala kwa Wabrazili weusi ambao wana asili yao toka Afrika enzi za utumwa.Wengi wao wanaishi kwenye vijibada na maghetto yenye hali mbaya kabisa ya Favela,huko kuna hali ya juu ya uharifu na utumiaji wa madawa na umalaya.Weusi wanabaguliwa ktk kila kitu wachache wanapata nafasi ya kusoma vyuo vikuu na kuna ubaguzi.
Rais wa Brazil ana changamoto nyingi tu nchini kwake kwa hiyo WaTanzania msifikirie atawatoa nje ya dimbwi la umasini.Tamzania tuna karibia kila kitu cha kuifanya nchi kuwa tajiri ila inakosekana mipango,vipaumbele,sera nzuri zinazotekelezeka,elimu ambayo ina reflect mazingira yetu n.k. Inaonekana Tanzania tuko likizo kwenye kufikiria na tumekuwa ombaomba wa kutupwa hadi vitu vidogo vidogo tunategemea mawazo na misaada ya kifedha kutoka nchi zingine.Inasikitisha Tanzania.
Ndoto ya mchana,Tanzania.
Lula es un ejemplo perfecto especialmente para ese presidente conocido como kikwete! lula adora su país y el otro odia... yaani manake (lula is a perfect example especially for that president known as kikwete! lula loves his country and the other one hates)
ReplyDeletelula is a perfect example especially for that president known as kikwete! lula loves his country and the other one hates...
ReplyDeletekwa wenzagu-
Lula es un ejemplo perfecto especialmente para ese presidente conocido como kikwete! lula adora su país y el otro odia
Kweli, hii trip ilikuwa ni ya South Africa kuangalia fainali. Kibao kimegeuka kwa Brazil.... Karibu utalii Bongo itasaidia kupunguza machungu.
ReplyDeletehana mpango alifikiri alikura mlungura wa Iran akakataa kusaini,yako wapi sasa.
ReplyDelete