Mdau Morgus anapozi baada ya kula nondozzz ya
Biashara Kutoka chuo kikuu cha John Moorse university cha Liverpool
Morgus akipozi na familia Mdau Lydiah anafurahia nondozzz yake ya Masters
in Public Health kutoka chuo kikuu cha Oxford University


Mdau Lydia akifurahi na familia



Twalane Daisy Migiro akifurahia baada ya
kula nondozzz yake ya Masters ya
Advanced Distributed Systems with Distinction
chuo kikuu cha University of Leicester Uingereza
Twalane Daisy Migiro akipozi baada ya kula nondozzz
Profesa Cleophas Migiro (tai nyekundu)
anajiunga na wanafamilia kumpongeza binti yake Twalane
Aunt Zuhura Mkwawa akipongezwa na wanafamilia
baada ya kula nondozzz yake ya Masters in
Mathematics chuo kikuu cha Leicester University
Aunt Zuhura apongezwa na familia baada ya kula nondozzz
Dada Jane akipongezwa na personal tutor wake Ivy
(mwisho kulia) na katikati ni mwalimu Sally
Dada Jane amepozi kwa majigambo akiwa
ndani ya joho baada tu ya kulamba nondo chuo kikuu cha Leeds University.
Asalaam Aleykum,
Kaka Michuzi na wadau wote wa globo hii ya Jamii. Hapa Leeds ni furaha tupu ya kumpongeza Shemeji yetu na dada yetu Jane Luther Nanza (Mrs. Sultan Nasoro) kwa kutunukiwa nondozzz ya MSc Public Health - Health Promotion kutoka Chuo Kikuu cha Leeds Metropolitan university.














Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2010

    Hongera kwa kila mmoja aliyefanikiwa kupata nondoz hamali na chuo chochote pale duniani.

    Kumekuwa na watu wengi wanaokula nondoz nchini tanzania na nje ya nchi, wachache wanaleta taaifa zao hapa na wengi tunawajuwa ambao hawaleti taarifa zao, ikiwa mimi mwenyewe ni mmoja wa wale waliokula nondoz mwaka jana hapa uk.

    Suali nitakalo kuuliza ni jee kwa wale ambao wamerudi nyumbani baadaya kula nondoz zao wameonaje au wame experience nini juu ya kutafuta ajira?

    Nadhani kuna haja ya kuwepo na mjdala wa upatikanaji wa ajira nyumbani au ni kubaki ughaibuni.

    ahsanteni sana.

    abi seif

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2010

    Big up Mogus kwa kufuata Nyayo za kina Dada. What an achievement!!
    Mmependeza sana hasa Binti Mwinyi na Dr.Khadijah Mashallah

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 21, 2010

    HONGERA SANA BINTI MIGIRO

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 21, 2010

    Hongera aunt Nanza Mungu akujalie na akuziishie.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 21, 2010

    Hongera saaaaaaaaaaaana dada yangu Zuhura sapi keep it up my best manamba hahaha raha jipe mwenyewe ukingojea kupewa jua litatua hahahaha.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 22, 2010

    kaka Abi Seif..
    husikatishe tamaa wape moyo zaidi wa kuweza kujipanga na kurudi home mimi mwenyewe nilikuwa huko huko UK na nimepata nondoz huko na sasa niko nyumbani na nina kazi nzuri tena niliyoisomea, nilipata kazi mapema tu kwa kuapply bila kumjua mtu, wala kutoa ongo.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 22, 2010

    hongereni saaaana hiyo ndo safi mmeenda ulaya kwa shughuli ya ukweli kula nondo, hongereni mnoooooooo

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 22, 2010

    Baba kaharibu sura ya mtoto.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 22, 2010

    Wewe Anonymous mambo ya sura yanahusu nini?? Hapa hatuongelei sura bali tunawapongeza WaTZ wenzetu kwa juhudi zao sasa wewe unaleta mambo ya sura.
    Hebu na wewe weka sura yakoau ya wanao tuzijudge.ACHA WIVU NA ROHO MBAYA

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 22, 2010

    annon Thu Jul 22, 10:47:00 AM hahahahahaaa umeniwacha hoi

    jamani mkwawa mko juuuu,ale muyawe beee

    na nimempenda uyo dada aliyemaliza PH Oxford duuuuh dada safi sana...

    karibuni tujenge nchi wether nje au ndani kote inawezekana

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 22, 2010

    huyo wa oxford naona akili imetulia sana maana mpaka kupata nafasi ya oxford

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...