Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mh. Lawrence Masha akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa maofisa waandamizi wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara leo jijini Dar es salaam.
Kamishna Mkuu wa Magereza,Augustino Nanyaro akimkaribisha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mh. Lawrence Masha leo jijini Dar es salaam kwa ajili ya ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara jana jijini Dar es salaam.



NA ZAHRA MAJID-MAELEZO
Serikali imelionya Jeshi la Magereza kutoegemea Chama chochote cha siasa wakati wa Kampeni za uchaguzi na kwenye zoezi zima la upigaji kura katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu ili kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kuwa kisiwa cha Amani na Utulivu.

BOFYA HAPA

kupata habari kamili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Je wanafunzi wanaotolewa madarasani kwenda kwenye campaign za CCM kule Kirumba mtasemaje? Mbona mnashindwa kuweka "balance" kwenye haya mambo? Tumeona kule Mwanza wanafunzi kibao wamekwenda Kirumba kumfagilia Kikwete...Je Huu ni Uungwana?

    ReplyDelete
  2. mdau wa Mon Aug 30, 04:42:00 PM

    La hasha huu si uungwana.

    1. TBC1: inawashabikia wao wapo kimyaa
    2. ITV: Inawashabikia wao wapo kimyaa
    3. Blog ya nanii pia: wao wapo kimyaa
    4. Waandishi hawapewi coupon kama hawashabikii kijani

    Leo hii wanalilionya jeshi la magereza ambalo halina infuence yoyote kwani sidhani kama wafungwa wanapiga. Alitakiwa kuonya Polisi na niliowataja hapo juu.

    LA HASHA HUU SI UUNGWANA

    ReplyDelete
  3. NI JESHI HILI LA MAGEREZA LINALOTUMIA BENDERA YA CCM? AU LINGINE?

    ReplyDelete
  4. Kuchakachua maoni ni dalili ya woga na udikiteta.

    ReplyDelete
  5. Masha anajihami kwanza toka awe waziri wa mambo ya ndani hajawahi kutembelea magereza nadhani hii ni mara ya kwanza kuwahutubia, Kaka michuzi ndio kahama nao kabisa yeye na ofisi yake, ukiangalia hotuba za wapinzani huwa hawaonyeshi wanapoongea mabmbo ya maana mpaka unashangaa hivi hii script ilirushwa kwasababu gani na siamini kama jamaa huwa wanaongea pumba tu.
    Any way we have long way to go.

    ReplyDelete
  6. maadili ya waandishi wa habari, wa blog wakiwemo, yanawataka kuandika habari za kujenga na kukemea yanayotendwa kinyume..ukishindwa, si mwandishi yakinifu na ni bubu. ni CHUMVI ILIYOHARIBIKA!!. UMENIMAIND MITHUPU?

    ReplyDelete
  7. hivi magezreza wanashiriki vipi zaidi ya kupiga kura na kupeperusha kijani na njano?

    ReplyDelete
  8. Afande Nanyaro hongera kwa kuwakutanisha wapiganaji wako wa miamvuli. Tafadhali tuondolee hii kero ya majigambo ya askari ako wakiwa uraiani wanaporopoka "Huyu mleteni kwetu tumshughulikie" naamini kwenu hamshughulikii watu bali mnahifadhi watu wanaotafuta haki au waliohukumiwa na haki.
    Mimi yamenikuta Kinyerezi wakati askari wako mmoja aendaye kwa jina la Tom alipotamka hayo amneno mbele ya kikao cha mwenyekiti wa serikali za mtaa wakati tulipofikishana pale kwa mgogoro wa mkataba wa nyumba niliyomjengea Mwalami na kufanya biashara hapo.
    namba yangu ni 0713 211 726

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...