


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
safi saana maana hawa dada zetu maranyingi huwa hawapandi vyeo bila mabosi kufanya uchafu.
ReplyDeleteHamna kuwa traffic mpaka....
Hamna kozi ya nyota mpaka.....
Nao wana waume zao wawapendao, kha.
Huo ndio mwanzo
ReplyDeleteSafi sana mwamzo mzuri, sbb TZ unyanyasaji umezidi wa kila aina.
Tatizo hilo limelenga jikoni penyewe, na wao sasa wapunguze unyanyasafi wa raia, nadhani ndio hatua inayofuata.
Mkuu wa Polisi huna lolote jipya kama unyanyasaji kwa askari wako ndio hawafai hata kidogo.
ReplyDeleteNa hapo sema ulikwa unatafuta njia ya kula hela za walipa kodi tuu. Wewe kimekushinda kitu gani kwendakufanyia hako kamkutano kako kwenye vyumba vyako pale Wizara ya mambo ya ndani na kuna nafasi kubwa tu???????
mnatuboooaa sanaaaa kwa mambo yenu ya ajaaabuuuuuuu