Home
Unlabelled
lebozzzzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
NIMEIPENDA SANA LEBO YA KUMI NA MOJA KUTOKA JUU.
ReplyDeleteNimeipenda hiyo lebo ya MAVI
ReplyDeleteSi mchezo naona hapo MAVI JEANS DENIM si mchezo.
ReplyDeleteLebo ya kumi na moja kutoka juu ni ya nani, sio mbongo kweli huyo aliyejiamulia kuita hilo jina? hahahaa
ReplyDeleteHiyo 'label' kati ya CERRUTI na BIKKEMBERGS ina wateja kweli hapa kwenye soko letu? Sijui....... Afadhali labda ingeitwa MBOLEA ingepata wateja. Michuzi fikisha ushauri huu kwa wahusika!
ReplyDeletenimeipenda sana hiyo "MAVI" ingawa bado sijawahi kuiona sokoni!
ReplyDeleteMzee wa PAMBA.
Hizo lebo ni sawa na maji ya mito kuingia baharini!
ReplyDeleteHata hivyo vipesa vyetu tunavyozalisha nchini vinakumbwa na hayo maji ya mito hadi baharini, mithili ya mafuriko ya hivi sasa huko Pakistani hadi yote yaishie Bahari ya Arabia!
Tukope; tuimarishe kutengeneza vyetu, kama wa-Japani na wa-China!
Nimeimba sana wimbo huu lakini people are not getting it!