
www.kikwete2010.co.tz
Libeneke hili maalumu la Mgombea Uraisi na Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM mwaka 2010 limesheheni habari mbalimbali kama:
· Wasifu wa Wagombea – Mhe. Jakaya M. Kikwete na Dr. Mohammed Gharib Bilal.
· Mafanikio katika sekta mbalimbali.
· Sera na Malengo 2010 – 2015.
· Ratiba za kampeni.
· Hotuba maalumu.
· Matoleo ya Habari.
· Video na picha.
· Mitandao ya Facebook,Twitter na Youtube.
Kupitia tovuti hii na mitandao yake utaweza kupata taarifa mbalimbali na kutoa maoni yako.
“ PAMOJA TUZIDI KUSONGA MBELE”
Ujumbe wa mwaka huu (2010) " Pamoja Tutafika"
ReplyDeleteUjumbe (2005) Maisha bora kwa kila mTZ
Ihali takwimu hazidanganyi..........
Watoto wachanga 130 hufariki dunia kila siku nchini
na Rahel Jeremia
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, imesema watoto wachanga wanaozaliwa nchini kila siku kati yao 130 hufariki dunia kila siku.
Katibu wa wizara hiyo, Blandina Nyoni, alisema hayo juzi wakati akizindua mpango wa kitaifa wa kuhamasisha unyonyeshaji watoto maziwa ya mama pekee katika miezi sita ya mwanzo.
“Utapia mlo unachangia kwa kiasi kikubwa vifo vya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano, hapa nchini tatizo hili linachangia theluthi moja ya vifo ambavyo vinakadiriwa kufikia 130 kila siku,” alisema Nyoni.
Alisema kwa mujibu wa taarifa ya hali ya afya ya mwaka 2004-2005 watoto 38 wenye umri chini ya miaka mitano kati ya 100 wamedumaa, hali inayoashiria utapiamlo umedumu kwa muda mrefu.
Alisema ulishaji duni wa watoto katika jamii, unatokana na sababu mbalimbali ikiwemo mila, desturi, imani potofu na jamii kukosa taarifa sahihi kuhusu ulishaji wa watoto, hivyo wazazi waweze kujenga tabia ya kutumia huduma ya afya ya uzazi na watoto ikiwa na maana ya kuhudhuria kliniki ili kuweza kupunguza tatizo hilo.
Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya kuhamasisha unyonyeshaji watoto maziwa ya mama pekee katika miezi sita ya mwanzo umewakutanisha wadau mbalimbali wa masuala ya lishe.
Alisema moja ya changamoto kubwa inayowakabili wadau wa lishe ni usambazaji na uuzaji
Nitawatumikia vijana wa nchi, kwa sababu hakuna vijana walioka hiimilia kama WACCM- Dr. Bilal,
ReplyDeletewengine vijana wote walie kama huko kwenye chama, au chama chengine chochote..