Mapema wiki hii mwili wa marehemu utasafirishwa kwenda Dar es Salaam kwa mazishi. Habari Kamili juu ya siku na saa kamili mwili wa marehemu kuwasili nchini Tanzania mtajulishwa mapema iwezekanavyo.
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Rome unatoa shukurani za dhati kwa maofisa wa ubalozi wa Tanzania nchini Italia, Jumuiya za Watanzania Napoli, Genova, Modena na jumuiya ya Mt. Egidio kwa kujitolea kwa ukarimu kwa hali na mali katika msiba huu. Mwenyezi Mungu awajaze maradufu mlichokitoa. Kwa habari zaidi na picha tembelea
www.watanzania-roma.blogspot.com.


Rest in Peace Hamisi. Pole kwa ndugu jamaa na marafiki popote pale mlipo. Ongeleni pia Jumuiya ya Watanzania Rome kwa mfano mzuri wa kiubinaadamu.
ReplyDeleteNaona kuna makosa katika kuandika majina. Akina George ni wakristo.
ReplyDeleteHakuna Kosa lolote ilo ndio jina lililopo kwenye passport ya marehemu.Sababu ya kuliweka hilo jina kwenye passport mimi na wewe hatujui.Asante.Kazi njema!
ReplyDelete