Msanii wa muziki kutoka nchini Ivory Coast ambaye anatamba sana na wimbo wake wa aladji aladji,Jeff Dogolobango akishiriki kwenye kampeni ya usafi kwa kupaka rangi kwenye ukuta wa moja ya majengo ya hospitali ya Mwananyamala jijini Dar leo.
Msanii Jeff Dogolobango akiwa na densa wake wawili mara baada ya kumaliza kupaka rangi katika majengo ya hospitali ya Mwananyamala leo.Msanii huyu yuko hapa nchini kwa ajili ya shoo babkukwa ya fiesta jipanguse itakayofanyika kesho katika viwanja vya lidaz klabu.
kwa picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...