Jaji mpya wa Bongo Star Seach 2010 Mzungu Kichaa akiwa na madame Rita Paulsen, mwandaaji wa shindano hilo la kusaka vipaji vya muziki nchini ambalo hivi sasa linaendelea. Baada ya kupita mikoa mbalimbali Agosti 10 hadi 12 ni zamu ya Dar na msako utafanyika Coco Beach kuanzia saa moja za asubuhi. hivyo vijana wenye vipaji mnaombwa mjitokeze kwa wingi
Kwa taarifa zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Intavyu ilifanyikia kibarazani, upenuni, au ndani ya ukumbi? Or aren't those sun glasses?

    Wakati umeenda wapi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...