


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
asalaamu alaykum bro misupu,
ReplyDeleteUnajua lugha huwa shida pale ambapo baadhi ya maneno huleta maana nyingine pale yanapotamkwa visivyo. Mara nyingi hususan mwezi huu wa ramadhani utasikia fulani au taasisi fulani inafuturisha pahala fulani. Tendo la kuwaalika watu wakala futari kwako huitwa "kufutarisha" siyo vinginevyo. Hilo neno lililozoeleka lina maana tofauti kabisa na tendo lenyewe.
mungu awazidishie kheri kwa kufuturisha wasiojiweza,hivi ndivyo ilivyoamrishwa ktk uislamu,sio wafanyavyo viongozi wa serikali kufturisha viongozi wenzao wasio na shida yoyote,ufisadi du hata ktk msaada.haifaiiii
ReplyDeleteShukrani Ankal Michuzi kwa habari za nyumbani. Picha ya sheikh wetu wa Tanga imenikumbusha mbali sana. Nadhani ni sheikh Mohamed Hariri wa pale Ma-awal Islam-Ngamiani- Tanga na si Mohamed Khalili.
ReplyDeleteMdau wa Konya-Uturuki.
hii vodacom wenzao wamekazana na kujenga mabweni na majengo ya maabara za shule wao kila siku na vilemba nakufuturisha..lol..
ReplyDeleteGrace unapendeza na hiyo hijabu. Mashallah utadhani hajati au ustadhati au shekhati fulani. Kwa kweli imekukaa.
ReplyDelete@mdau wa konya-uturuki.
ReplyDeletesawa kabisa ni sheikh mohamed hariri mohamed wa ma awal islam Tanga, na si mohamed khalili kama alivyoandika kaka michuzi.
mdau wa Poland.