Lady Jaydee akiwa na mai hazbendi wake gadna G. habash wakionesha ze fulanazzz maalumu kwa ajili ya kusherehekea miaka 10 ya manamuziki huyu hodari ambayo kilele chake kitakuwa ijumaa hii pale Mzalendo Pub Millenium Towers jijini Dar kwa onesho litaloenda sambamba na uzinduzi wa albamu ya kwanza ya Machozi Band.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 27 mpaka sasa

  1. tunaitaji ya nyekundu pia msilete u-yanga wenu mtavaa wenyewe!!!!

    ReplyDelete
  2. Wanafanana!

    ReplyDelete
  3. Huyu dada lazima asonge mbele,,mimi binafisi ni mrundi wa hapa Rumonge Burundi, lakini ninavyopenda kazi yake ni balaa.
    Kitu kingine haliziki na umaarufu kama mastaa wengine wakipata umaarufu kidogo wanaanza kubweteka kabisa matokeo yake wanabaki tu niwakupanga nyumba na kuhamahama.Harafu Jide ni mtu mwenye huruma ya kusaidia pia mwenye upendo kwa kila kiumbe,,sijui kama hayo nayaona peke yangu ingawa niko pembeni kidogo na Dar, cha msingi nakupa hongera dada na lazima nihudhulie siku hiyo.

    ReplyDelete
  4. SENATOR ...August 04, 2010

    Gardner and Jaydee RANGI YA TSHIRT TU ! congrats.....!
    See u tomorrow at Savvanah....
    SENETOR..

    ReplyDelete
  5. Ka Ka ka ka kapitaiiiin...!!!!

    ReplyDelete
  6. anachezea timu gani huyo tutajie kwani ladj jaydee ni nani

    ReplyDelete
  7. My Hazbendi!!!!

    Ndg Michuzi, tunajua ni blog yako lkn habari ni kwaajili ya wadau wote, khy maoni yanayojenga ni haki yatu.

    Jitahidi kuelimisha jamii vzr kwa maneno fasaha,
    Mfn umeandika My Hazbendi! heri ungeandika fulani na Husband wake, ama Fulani na Wife wake.

    ReplyDelete
  8. KWAHIYO MIMI NIFANYEJE SASA

    ReplyDelete
  9. Nice couple!

    God bless u million times.

    ReplyDelete
  10. NI MARA CHACHE SANA UTAMUONA HUYU DADA AKIWA HAPPY.....SHE IS ALWAYS UNHAPPY....I DONT KNOW WHY???

    ReplyDelete
  11. Yupo serious na kazi yake, na kama ni mhali pa kucheka anacheka, sidhani kama yupo unhappy, hiyo ni hulka ya kuzaliwa.
    Tunampa hongera kwa kazi nzuri

    ReplyDelete
  12. we mdau hapo juu umekazana sana kumwambia ankal abadilishe lugha aandike unavyotaka wewe, sasa sikia ufungue blogu yako uandike kiswahili fasaha ili hao watu wanaotaka kujifunza kiswaz wajifunzie huko, hujavutwa kwa kamba kuja humu usituaribie kijiwe chetu tafwazali, kaa kushoto na ukome mbona bongo yote wanaongea kiswanglish hadi mr presidaa? nenda kaombe kazi baraza la kiswahili usituletee ufala humu ndani hujui hiyo lugha ndo inanogesha blogu ya jamiii?? narudia tena fungua blogu yako uandike unavyotaka usikontroo watu hapa alaaa! hii sio blogu ya kina ras makunja umesikia eeeh??!! peleka ukong'ota wako hukoo kwenye mbayuwayu wa mtaaani kwenu!!!

    ReplyDelete
  13. Mwanaume ndo ana smile...mmh sina la kusema, michuzi usipoweka hii shauri yako, mradi umesoma wewe inatosha

    ReplyDelete
  14. NI MARA CHACHE SANA UTAMUONA HUYU DADA AKIWA HAPPY.....SHE IS ALWAYS UNHAPPY....I DONT KNOW WHY???

    Wed Aug 04, 01:59:00 PM

    Umbea suna..mdau KILO hapo umenena..HILO NALO NENOOOOOOOOOOOOOO

    ReplyDelete
  15. WE HUJUI KAMA WATU WAKIISHI PAMOJA WANAFANANA KWANI HAO NI KINA NANI NAOMBA JIBU HUYU NI MKE WA GADNA WA CLOUDS ANAYETANGAZA JAHAZI NAOMBA JIBU WADAU MBONA KAMA MKUBWA KWAKE

    ReplyDelete
  16. We kilo unafikiri mtu kuwa happy nikucheka cheka tu mbona binadamu mko hivyo. Kila mtu na personality yake bwana usilazimishe watu kufanya unavyotaka. Hata wanaocheka cheka moyoni kwao huwezi kujua. Happiness ni personal issue huwezi kutambua mtu yuko happy kwakumuangalia usoni hayo ni mambo ya moyoni kabisa usidanganyike.

    ReplyDelete
  17. Kilo you're correeeeeeeeeeect....100%

    Mdau ashkamatit

    ReplyDelete
  18. DAH KUNA MDAU HAPA YUKO MAKINI SANA...MIMI NILIKUWA NASEMA YAKUWA WANADADA HANA FURAHA KUNA KITU KINAMLAA KICHWA....

    ReplyDelete
  19. Ningependa kuwapongeza kwa jitihada zao ni mfano mzuri kwa wasanii wengine.Vile vile ningependa kupendekeza mwandishi wa nalala hii itakuwa vizuri ukitumia lugha moja inayoeleweka.Ukiamua kutumia kiingereza tumia kiingereza.Na kama unatumia kiswahili tumia kiswahili.Kwa sababu unachanganya kiswahili na kiingereza ambavyo aileti maana yoyote.P/se try to use one language.

    ReplyDelete
  20. Marangu OneAugust 05, 2010

    Wewe anony wa Thu Aug 05, 01:23:00 AM! Rejea maoni ya anoni wa Wed Aug 04, 03:28:00 PM.

    Kiswahili fasaha, kiswahili fasaha! Kwenden zenu huko mkajiunge na Baraza la Kiswahili.

    ReplyDelete
  21. Annony wa Tarehe Thu Aug 05, 01:23:00 AM, Unakaza nini na unaandika nini? mbona mwenyewe umechanganya lugha, kama huna comment kaa pembeni. hebu angalia hiyo sentesi yako..

    ".........................sababu unachanganya kiswahili na kiingereza ambavyo aileti maana yoyote.P/se try to use one language."

    ReplyDelete
  22. we anon unayetaka lugha iwe moja nenda kamkontroo mkeo na wanao, in short la familia na sio ankal umezaliwa umemkuta jua lileeee literemke mamaaa wewe bado wa jana, hata wewe umechanganya kiswanglish, mnamaind mambo madogo madogo sijui makubwa inakuwaje tena nyie ni wanume flani hivi chokesti , ankaliiiiiii andika mai wii, my wify, dinner la asubuhi, la mchana na usiku kabisaaa ile wakonde mtima eboh!! watu gani nyie hamjui utani?????????????? fungueni za kwenu mandike ma me mi mo muuuuuu,!!!

    ReplyDelete
  23. GADNAS NA DADA MKUBWA NA MDOGO

    ReplyDelete
  24. Huyo kwa asili ni MKURYA wa MUSOMA kule so ishu za KUTABASAM-TABASAM hazipewaGI kipaumbele kule...m-mesikia nyie ma-ANONY apo juu?????

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...