NAIBU BALOZI WA TANZANIA, BWANA CHABAKA KILUMANGA, AKIWA PAMOJA NA BAADHI YA VIONGOZI WA ASASI YA MALAIKA KIDS NA WANAFUNZI WA CITY OF LONDON SCHOOL, BAADA YA KUKABIDHIWA HUNDI KWA NIABA YA ASASI HIYO YA MALAIKA KIDS YA KIJIJI CHA MKURANGA.
WANAFUNZI WA CITY OF LONDON SCHOOL, WAKISIKILIZA NA KUPOKEA SHUKRAN KUTOKA KWA NAIBU BALOZI NA VIONGOZI WA ASASI YA MALAIKA KIDS.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...