Kwa kusikiliza mahojiano hayo ingia katika mtandao wa Redio ya Umoja wa Mtaifa http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili pia kwenye facebook http://www.facebook.com/UNRadioKis au waweza kubonyeza moja kwa moja kwenye mahojiano yenyewe http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/detail/113198.html
Kwa kusikiliza mahojiano hayo ingia katika mtandao wa Redio ya Umoja wa Mtaifa http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili pia kwenye facebook http://www.facebook.com/UNRadioKis au waweza kubonyeza moja kwa moja kwenye mahojiano yenyewe http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/detail/113198.html
safi sana kaka, mh wetu waukweli sana.
ReplyDeletecongrats mkapa.
pics hiv, very safi.
Mara zote naamini kwa dhati historia huukumu watu. Huyu ni kiongozi bora ameacha legacy...yetu macho kwa legacy itakayofuata. Na cha msingi zaidi katoka madarakani ameacha wengine watawale. Hongera na Mungu akupe afya na maisha marefu Ben!
ReplyDeleteThats is Big Ben! Congrats Sir for wat ever u've done!!
ReplyDeletemazoezi jamani!
ReplyDeleteBro. Ben shavu hillo, doh
ReplyDeleteKweli madaraka ya Urais is full of stress! I can now get back the real picture of Benjamin Mkapa, aliyekuwaga Balozi na mwanahabari! (pichani katokea anacheka na looks more relaxed on that interview! sio kama alivyokuwa akitokea TVT ktk Hotuba zake za wananchi za kila mwezi-seriously and tense)
ReplyDeleteHongera Rais Mstaafu for looking after your self well though watch your weight.
nouvague, Birmingham Uk.
Watanzania tunakutakia afya nje kaka wa taifa, tunakukumbuka kweli kweli. Safi sana.
ReplyDeleteOn of the brainy President my country has had...
ReplyDeleteYou are the leader and i envy you..
All the best in your assignment