


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mmekosea jina la maa Shein anaitwa Mwanamwema na siyo Tunu
ReplyDeleteUncle, mke wa Dk. Shein anaitwa Bi. Mwanamwema Shein na sio Tunu.
ReplyDeleteBi TUNU ni mke wa mtoto wa mkulima mwoga Bw. Mizengo Pinda
Ankali mke wa Dr. Shein anaitwa Mwanamwema na siyo Tunu
ReplyDeleteWekeni CV ya mgombea-mweza wa Dr. Slaa, jamani! Hivi hamjui kuwa anaweza kuwa Rais endapo mabaya yatampata Slaa?
ReplyDeleteSijui jina lake!
nyie nao!!! wapeni pole kwa kazi ngumu ya kampeni. kwani kukosea jina kunasaidia nini au kunabadilisha kwamba wameshabadilishana hao wanawake?. yaani unapinda mngogo dakika tano kudonoa eti mke wa nani ni nani. BADILIKENI WATANZANIA. ala!
ReplyDeleteWatu weninge sijui mnashida gani, unaacha kujadili shida na adha zinazowasonga watanzania unaanza kung'ang'ania kuwa ooohh jina la mtu limekosewa, sasa kama limekosewa shida ni nini? unatakiwa kuwaza watanzania wenzako wanaolala kwa kula mhongo na maisha ya tabu. Fikiria suluhisho la jambo kama hilo. sawa eeh
ReplyDeletenyie hapo juu mna akili kweli?? kukosea jina la mtu is a serious wrong na ni misconduct kwa mwandishi.hivi nyie mko dunia gani?si unaona wamemsaidia kabadili, nini jina, spelling tu katika jina inaweza kuleta tatizo, mtu anaweza hata kupelekwa mahakamani. alaah
ReplyDelete