Nimetoka kuingia katika website ya NEC ambapo nimeweka nambari yangu ya mpiga kura na kuweza kupata online status ya wapi kituo changu kinapatikana.

Taarifa niliyoipata kwenye web pamoja na email niliyotumiwa ni sahihi kwa asilimia 100. Napendekeza sote tutizame status zetu ili kuepukana na disappointments za dakika za mwisho. Hii itazidi kutupa uhakika wa kupiga kura zetu sahihi siku hiyo ya tarehe 31 Oct 2010.

Link ya kufuata ni hii…

http://www.nec.go.tz/?modules=gallery&sub

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. mdau umekosea link hii ndio yenyewe
    http://www.nec.go.tz/?modules=reg_status&sub

    ReplyDelete
  2. Kumbuka waweza ona status yako online iko OK lkn ukifika kituoni haumo ktk list, what do u do? Au waenda na internet ktuoni kuwa-confirmia?It has happened.

    ReplyDelete
  3. Kwikwiiiiiiiiiii
    Niko zenj na nimeweka Voter ID yangu na hakuna result zenye details zilizokuja. ama shahada za znz hazitambukliwa na suystem ya NEC
    Nimepata e mail kutoka NEC isiyo na details kama ifuatavyo:

    FULL NAME
    REGISTRATION CENTRE
    REGION
    DISTRICT
    WARD

    ReplyDelete
  4. Hii kali hata kiswahili kinapiga chenga. Nimeingia huko kwenye hii site nakutana na title inasema "wagombea kurudiosha fomu" Ouch!!! hata proofreading kitu kabla ya kupost ni lazima mtu alipwe overtime bongo halafu tunalalamika majirani zetu wanachukua kazi zetu ...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...