Umati ukimsikiliza JK wakati alipowahutubia
katika mkutano wa kampeni huko Kiwalani leo
wananchi wakimsikiliza JK Kiwalani leo
mdau wa radio Uhuru akifuatilia hotuba ya JK leo huko Kiwalani




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. te!te!te! JK ni kipenzi cha walio wengi,utake au usitake ,JK hana mpinzani,ni hakika kabisa JK anakubalika mpaka na wanachama wa vyama vya upinzani,nani?anabisha!
    na kile kasebene kake heti
    "akina mama wote tumchague" KIKWETE
    " Akinababa wote tumcahue" KIKWETE
    "Vijana na wazee tumchague" KIKWETE.
    Ah! kale kawimbo kamesema kweli

    ReplyDelete
  2. Itachukua upinzania miaka 50 kuweza kuing'oa CCM!

    Tazama hilo ri-reflection la rangi za CCM hapo kwenye gogozi!

    The picture is very fantastic!

    ReplyDelete
  3. JK hana mpinzani! Tupende tusipende, ukweli unabaki pale pale

    ReplyDelete
  4. Du hii sasa kali kwa mara ya kwanza mgombea uraisi wa CCM anapiga kampeni Kiwalani, muda si mrefu tutamsikia yupo mwenge kituoni. Michuzi usibane hii pls

    ReplyDelete
  5. Hivi unajua kuna mgombea urais maarufu kaogopa kwenda sehemu nyingine? hajang'aa lindi , mtwara, pemba anaogopa nini? watu wataenda mpaka manzese uwanja wa fisi haina tabu kote kuna watanzania

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...