JK akiwasili uwanja wa Sahara jijini Mwanza kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge jimbo la Nyamagana Mh. Laurence Masha akitokea Geita na kabla ya kurejea Dar kwa lala salama ya uchaguzi mkuu baada ya kuhitimisha kampeni ya nchi nzima
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa Mwanza mkutanoni hapo
Nyomi uwanja wa Sahara jijini Mwanza
Uwanja wa Sahara wakati wa mkutano huo
uwanja wa sahara palikuwa hapatoshi
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Nyamagana Mh. Lau Masha akimwaga sera za chama chake wakati wa mkutano wake wa kampeni uwanja wa Sahara jijini Mwanza
JK akihutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo
JK akimnadi mgombe ubunge wa CCM jimbo la Nyamagana Mh. Lau Masha
JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM jimbo la Ilemera Mh. Anthony Diallo kwenye mkutano wa kampeni wa Mh. Lau Masha katika uwanja wa Sahara ambapo Mh. Diallo aliwafagilia sana JK na mgombea huyo wa Nyamagana










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. HII BWANA SAFI SANA. WACHA WAPIGE KELELE JUMAPILI LAZIME MTU ACHINJIWE BAHARINI

    ReplyDelete
  2. Mh JK, MH Masha na Mh Diallo, Tuko pamoja nanyi. Tunaahidi kuongeza juhudi ya kampeni yetu ya nyumba kwa nyumba mpaka dakika ya mwisho kuihakikishia CCM USHINDI wa tsunami. CCM DAIMA. INGEMBENSABO SOCIETY (Tawi la mkoa wa Mwanza).

    ReplyDelete
  3. Excellent!!!!!!! Wana-Ingembensabo, uzi ni ule ule, RockcityCCM'er.

    ReplyDelete
  4. kikosi cha ushindi, wembe ni ule ule ushindi, waacheni masela hawana sera wamebakia matusi, kashfa na uongo hukumu yao Oct 31 hii sio nchi ya wahuni yaani wewe unaetegemewa kuwa mbunge unasimama jukwaani na kumtusi raisi wa nchi na tena kakuzidi umri, kuwa hana adabu ajafunzwa na mama yake jana nimesikitika sana ile hotuba ya mwembeyanga iliyoonyeshwa tbc, watz tunakwenda wapi mbona sio utamaduni wetu hawa wahuni wasiokuwa na maadili wametokea wapi? tunataka sera sio matusi mtapata kura za hao wahuni wenzeni lakini kwa wastaarabu hampati kitu

    ReplyDelete
  5. CCm Oyeeeeee! Kigumu Chama Cha Mapinduzi....

    ReplyDelete
  6. Wajameni. Hivi bado mtasema watu woote hao walikuja na mabasi ya kukodi? Kubalini yaishe, lakini jumapili siyo mbali!

    ReplyDelete
  7. Wapinzani jiandae kushika hatamu mwaka 2060!

    ReplyDelete
  8. Bwana Michuzi, Mimi ni Msukuma na Mtanzania mzalendo niko Mwanza; siwabagui binadamu wenzangu. Hata hivyo nimesikitishwa sana na baadhi ya ndugu zetu wa kabila moja la kutoka mkoa fulani wa kaskazini kuingiza ukabila katika uchaguzi mwaka huu; hasa kupitia mitandao yao ya kikabila hapa mjini(siri imetoka). Ndio maana wengi wetu tumeamua kukipigia kura CCM.

    ReplyDelete
  9. matusi na uongo wa chadema mwanza yamegonga mwamba; ha ha ha....

    ReplyDelete
  10. Hivi kweli Dr Slaa hana mke?

    Ataingia Ikulu na kimada!

    Haikuji kabisa! Dr. Kamuzu banda mwingine....atachukua kimada labda!

    ReplyDelete
  11. Slaa hana mke lakini ana watoto. Mzee Nipashe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...