mkereketwa wa CCM Bw. John Mananihii akiwa na
bintiye wa mwisho wakikata mitaa jijini Dar kuonesha sapoti yao kwa chama tawala. Huyu bwana ni kaka wa mla vichwa mashuhuri nchini pale Migomigo lango la jiji, Papaa Bitebo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Mla vichwa ndio nani tena?

    ReplyDelete
  2. ANAONEKANA KACHOKA NA KAPOTEZA MATUMAINI.

    ReplyDelete
  3. Ankal weka hii comment please na ikiwezekana mwambie huyu jamaa asome kama ana internet otherwise print mpe.

    Napenda kumuuliza huyu jamaa

    Je, nyumbani kwake kuna bomba la maji, na kama yupo yanatoka mara ngapi wiki?

    Je, nyumbani kwake kuna umeme, na kama upo unakatika mara ngapi kwa wiki?

    Je, watoto wake wanasema kwenye shule za serikali, na kama wanasoma huko kuna madawati, waalimu, na vifaa vya kutosha?

    Je yeye anataka huyo binti wake aishi katika hali ya maisha anayoishi yeye kwa sasa? Kutembea na viatu vilivyochaa na nguo za mtumba, kula vumbi mitaani na kuumwa na mbu, kupambana na vibaka usiku na mchana, na foleni za magari?

    Je yeye anatibia hospital gani? Kama ni hospital binafsi kwa nini asiinde za serikali kwenye huduma nafuu, na kama anaenda kwenye hospital za serikali je kuna huduma za kuridhisha huko? madakitari, vifaa vya kupima wagonjwa, vitanda vya kulala wagonjwa, usafi wa hospitali n.k

    Kama yeye hayo maswali hayamhusu sana je ajibu kwa niaba ya watanzania wengi wanaisha hapo Dar haswa na ndugu na jamaa zake wa kule vijijini.

    Akisha jibu maswali haya na mengine ambao yatajitokeza, atafakari kwa kina kama kweli huyo binti angekuwa amekuwa na kuwa na uwezo wa kupambanua mambo angevaa hiyo kofia na begi

    ReplyDelete
  4. Mbona anaoneka anaumwa tumbo? Akapime badala ya kushinda kwenye mikutano ya wanasiasa. Afya kwanza, siasa baadae.

    ReplyDelete
  5. Michuzi sawa kwa kubania maoni, mimi namjua jamaa kwa jina la John Manyege, wewe unamwita Mananihii, ndio jina gani hilo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...