

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyu jamaa alikuwa the most beutiful defender to watch mkimweka na mohamed tall bakari, jella mtagwa jamaa wa west africa kama vile nigeria,ghana walikuwa hawaoni goli, golden era of soccer on TZ
ReplyDeleteEnzi za huyu cool defender na wenzake kwenye late 70's ilikuwa balaa. Wee uliza AS VITA ya DRC ya akina Mayanga, Ibadan Shooting stars ya Nigeria ya akina segun odegbani, Marehemu Mudashiru Lawal waliona cha moto.
ReplyDeleteUkweli ni kwamba Mr. Tenga akitaka kitu anazingatia sana malengo, bidii na nidhamu ya hali ya juu hivyo lazima afanikishe lengo lake kwa kiwango cha juu. Sii Mtu wa mzaha anapotaka kufanikisha azma yake.
Naomba sana wachezaji wetu wawe wanazingatia anayowaasa wataona matunda yake.