Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Muhammed Seif Khatib akibandika stika kwenye ramani ya Tanzania kuashiria kuwa kampeni kubwa ya kuhamasisha watanzania waweze kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu ya taifa katika mchezo wake muhimu dhidi ya timu ya timu ya Taifa ya Morocco hapo jumamosi,Oktoba 9 2010 imezinduliwa rasmi.kati ni Meneja Mkuu wa Uhusiano, mawasiliano na Jamii kutoka kampuni ya bia ya Serengeti Dada Teddy na Rais wa TFF, Leodga Tenga wakishuhudia tukio hilo mchana huu.
Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Muhammed Seif Khatib akibandika stika kwenye ramani ya Tanzania kuashiria kuwa kampeni kubwa ya kuhamasisha watanzania waweze kujitokeza kwa wingi kuishangilia timu ya taifa katika mchezo wake muhimu dhidi ya timu ya timu ya Taifa ya Morocco hapo jumamosi,Oktoba 9 2010 imezinduliwa rasmi.kati ni Meneja Mkuu wa Uhusiano, mawasiliano na Jamii kutoka kampuni ya bia ya Serengeti Dada Teddy na Rais wa TFF, Leodga Tenga wakishuhudia tukio hilo mchana huu.


huyu jamaa alikuwa the most beutiful defender to watch mkimweka na mohamed tall bakari, jella mtagwa jamaa wa west africa kama vile nigeria,ghana walikuwa hawaoni goli, golden era of soccer on TZ
ReplyDeleteEnzi za huyu cool defender na wenzake kwenye late 70's ilikuwa balaa. Wee uliza AS VITA ya DRC ya akina Mayanga, Ibadan Shooting stars ya Nigeria ya akina segun odegbani, Marehemu Mudashiru Lawal waliona cha moto.
ReplyDeleteUkweli ni kwamba Mr. Tenga akitaka kitu anazingatia sana malengo, bidii na nidhamu ya hali ya juu hivyo lazima afanikishe lengo lake kwa kiwango cha juu. Sii Mtu wa mzaha anapotaka kufanikisha azma yake.
Naomba sana wachezaji wetu wawe wanazingatia anayowaasa wataona matunda yake.