Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania ambaye pia ni Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania Jaji Profesa Ibrahim Juma akimkabidhi zawadi ya Jokofu Bi. Philipino Singano baada ya kustaafu utumishi wa umma aliotumikia kwa zaidi ya miaka thelathini katika hafla fupi iliyofanyika ofisi za Tume Dar es Salaam. Mama Singano akiwa na waliokuwa watumishi wenzake katika Tume ya Kurekebisha Sheria katika hafla hiyo. Jaji Profesa Ibrahim Juma akitoa nasaha kwa mama Singano. Baadhi ya watumishi wa Tume wakigonganisha bilauri wakati wa kumuaga mama Singano.
Home
Unlabelled
Mama Singano Aagwa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...