Mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini kupitia chama cha mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu,akicheza ngoma ya kinyaturu,kabla ya kuwahutubia wananchi wa kata ya Mrama hivi karibuni.Mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini kupitia chama cha mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu,akiwahutubia wananchi wa kata ya Mrama hivi karibuni.
Wananchi wa kata ya Merya iliyopo Singida mjini,wakicheza ngoma ya kwao ya kabira la wanyaturu,wakati wa kampeni za mgombea wa Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyarandu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kuna Vijana wamesweka rumande kwa kuvaa suruali mlegezo.
    Walikuwa wamevalia suruali aina ya Jeans wakiwa wamezifunga kwa mikanda chini ya makalio katika mtindo uitwao “kata k” huku nguo za ndani zikionekana hadharani. Hili liwe fundisho kwa Vijana wote mnaopenda kuiga mambo ya kigeni yasio maadili ya Utamaduni wetu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...