


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani majaji wanawake wenne tu? Wahuska litupieni macho hilo. Akina mama nawaaminia kwa kua na wago kidogo katika mambo ya ruswa. Wapewe nafasi zaidi katika hiki kitengo.
ReplyDeleteMdau
Amerika Kaskazini
NAFASI ZA UJAJI HAZITOLEWI KWA KUFUATA JINSIA ISIPOKUWA UWEZO WA KUTAFSIRI SHERIA VIVYO HIVYO KWENYE SIASA NDO MAANA HATA MAREKANI INA MAJAJI WACHACHE WANAWAKE PIA MASENETA, WAWAKILI NA MAWAZIRI WACHACHE PAMOJA NA KUWA NI NAMBARI WANI KWA KUTETEA HAKI ZA WANAWAKE
ReplyDeleteNIKIPATA URAIS TANZANIA NITAFUTA VITI MAALUM VYA WANAWAKE NI UPOTEZAJI WA RASRIMALI ZA UMMA KAMA MWANAMKE NI MWANASIASA AENDE JIMBONI KUOMBA KURA MFANO MARY NAGU, MONICA MBEGA, DK BATLDA BURIAN, ANNA MAKINDA, PROFESSA TIBAIJUKA NA WENGINE SI KUPATA USHINDI WA MEZANI WA JINSIA MOJA.
KWA SABABU KUNA MAENEO MENGI YA MWANAMKE KULETEA TAIFA MAENDELEO SI LAZIMA AWE JAJI AU MBUNGE