THE SPORAH SHOW IS UP AGAINT SOME STIFF COMPETITION SO ITS UP TO YOU TO HELP US WIN !PLEASE VOTE FOR SPORAH SHOW BY TEXTING ON 80010..
THE BEST TV SHOW: 341
THE BEST TV PERSONALITY: 353
THE BEST TV PRESENTER: 359
http://www.beffta.com/news/
BEFFTA AWARDS 2010:
ON 30TH OCTOBER 2010 AT CENTRAL HALL WESTMINISTER.
Ongeza mlo kidogo mtoto, maana naona anorexia inakunyemelea.
ReplyDeletevote yangu umepata.
Woow, well done Sporah, We Love you.
ReplyDeleteSasa tunavotije huku USA???
Mwendo wa Farasi Sporah, usirudi nyuma mwanangu.
ReplyDeleteHONGERA SANA DADA SPORAH, YOU DESERVE IT.
ReplyDeleteSpola dada angu, naipenda sana sana show yako, ila kwetu ni mimi tu ndio ninaelewa kiingereza, na Mama angu na Bibi angu wanaipenda saaaaaaaaaaaana show yako lakini LUGHA HAIPANDI, wanakaa kukusifia nywele hereni viatu lakini hawaelewi sanyingine najisikia vibaya, au najikuta naanza kuwatafsiria moja baada yalingine, mi naomba labda mlifikirie hili jambo, either kuweka sub tittle au Star Tv waangalie jinsi yakutafsiri maana ukweli ni kwamba Show yako ni nzuri na inaelimisha jamii yetu ya watanzania sana na itawafungua watu wengi macho, Ila Lugha inatuangusha dada.
ReplyDeleteAu basi tu rudi nyumbani ufanyie haya mambo huku nyumbani ili wadogo zako na kina dada zako na kima mama zako na bibi zako wafaidike na knowledge yako.
Yangu ndio hayo tu. Otherwise all the best Dada.
Jamani hebu mwambieni huyu binti kuwa kuna kitu kinaitwa chakula na ale atie angalau minofu na kuziba mifupa hiyo!!! Nani anataka kuangalia skeletoni!
ReplyDeletemmh,jamani hizi diet mmmh,mwanamke nyama babu{nataka paja leo,hakinitoshi kipapatio}
ReplyDeleteSporah mamii keep up the hard work, kwakweli unajitahidi. Na Asante kwakutuwakilisha. Kura yangu Na familia yangu wote ushazipata. Mungu akusaidie unyakue award zoote Tatu.
ReplyDeleteJamani Sporah umependeza sana saaana my dear, nywele, gauni, hereni, saa, OMG.
ReplyDeleteLOOVE YOUR STYLE.
Hi Sporah,
ReplyDeleteI think you are a really amazing and beautiful woman and a role model for us young girls. I wish you good luck with your show and your life.
Remain blessed.
Hi Sporah,
ReplyDeleteI think you are a really amazing and beautiful woman and a role model for us young girls. I wish you good luck with your show and your life.
Remain blessed.
Hop u gonna win coz yo show is rocking n' I'll vote 4 u.
ReplyDeleteebu nyie acheni ushamba, huyu Sporah ancomplit na International TV show sasa unene wanini huku ulaya?
ReplyDeleteIla yes kapaja muhim lakini mbona Sporah anakapaja jamani na kahips kakishkaji, na nyuma pia analipa mtoto wa watu, Kwa kweli kwa Figa anayo na kipaji anacho.
Na wewe unaetaka kipapatio hujui watu wanazitafuta hizi figure? nakupoteza alot of money kwenye ma Gin usiku na mchana? Narudia tena Muacheni mtoto wawatu hana UBETINA WALA UZENA, Ni KIAVERAGE.
na anawakilisha positively international thats the most important thing to us Tanzania.
Acheni malumbano jamani, ni wangapi wamefanya anayoyafanya huyu binti hasa hizi nchi za ulaya? Huyu dada anawachallenge watu wa Internationa hapa London, angalieni kwanza English sio our firs language lakini ameweza ku bridge the gap, na umri wake pia, ni kina dada wangapi wanafanya mambo anayoyafanya huyu binti, hepu tujaribuni kuappreciate vya kwetu na kusupport pale panapoonekana panatakiwa kusupportiwa.
ReplyDeleteSporah You deserve it sister. Hard work and results are what you are...all my votes to you.
Mdau Reading
Sporah, don't listen to some of these fat a... Most of them are lazy because they are overweight. You are in a great shape, keep doing what you are doing baby. I am going to vote for you honey.
ReplyDeleteI love you!
Kweli ningekua na fimbo ningewachapa nyienaopenda malumbano ya kipimbavu, sasa unene, wembamba vinatoka wapi???
ReplyDeleteHapa tunachotakiwa nikumsupport huyu dada a win, anaiwakilisha Tanzania in a very positive way! Sasa hayo mengine yanatoka wapi? Mnamkosea adabu mwenzenu mambo ya kipaya vihips!! Ebu acheni ujinga wajomba. Tanzanians we need to learn to support each other that's the only way out.
Hongera dada kwa kazi ngumu unayoifanya, kura yangu na marafiki zangu na familia yangu unazo.
Geofrey
ebu nyie acheni ushamba, huyu Sporah ancomplit na International TV show sasa unene wanini huku ulaya?
ReplyDeleteIla yes kapaja muhim lakini mbona Sporah anakapaja jamani na kahips kakishkaji, na nyuma pia analipa mtoto wa watu, Kwa kweli kwa Figa anayo na kipaji anacho.
Na wewe unaetaka kipapatio hujui watu wanazitafuta hizi figure? nakupoteza alot of money kwenye ma Gin usiku na mchana? Narudia tena Muacheni mtoto wawatu hana UBETINA WALA UZENA, Ni KIAVERAGE.
na anawakilisha positively international thats the most important thing to us Tanzania.
hii lugha gani?au ndio wanaita kiswanglish?
All the best dada, utashinda tu Mungu yuko na wewe.
ReplyDeleteSpora your my inspiration lady of all the time, keep it up Dada angu. We love youuuuuuuuuuuuuuuuu
ReplyDeleteUkweli uko palepale,
ReplyDelete1. Ni wangapi wangetamani kufanya mambo anayoyafanya Sporah?
2.Ni mtanzania gani amewahi kushindania Awards 3 kwa pamoja katika nchi za ugenini?
3. Ni wangapi wamejaribu kufanya mambo kama haya anayoyafanya Sporah na yamewashinda?
4. Ni waTanzania wangapi walio-establish business zao nchi za ugenini wakafanikiwa kuespand nyumbani na kusaidia Jamii yetu ya watanzania walioko nyumbani?
5. Je katika umri alionao huyu binti ni mabinti wangapi wanaweza kuwa na nguvu yakusimama nchi za kigeni na kufika hapa alipofika huyu binti na umri wake?
THE LIST GOES ON AND ON..
Ebu acheni mambo ya Ubetina Uzena, na tumpe sifa zake, kama hao wanaotoa awards wamemchagua tena awards 3, Mashalah!
GOD BLESS YOU SPORAH AND Usisikilize maneno ya wakosaji.
Kura yangu unayo mama.
Spora achana nao woooote unaowaona wanakuzibia njia, Umefikia kipindi ambacho itakua ngumu watu wako wakaribu kukupenda maana wanaona Mungu ameshaanza kuivisha matunda yako, bila kujua kwamba Ni jasho lako! hivo jaribu sana sana kuwaepuka wale unaowaona wanataka kushindana na wewe kwa njia moja au nyingine trust me you dont need them. Endelea na mwendo huo huo, hapa bongo show yako iko juu, na hao wazungu wamekukubali kuweka kwenye awards 2010 what alse do you need mdogo wangu? Achana na maneno ya watu, SIZITAKI MBICHI HIZI, achana nao
ReplyDeleteHard work pays and remember kushinda kwako ni furaha yetu sisi watanzania tunaopenda maendeleo ya Mtanzania . Mungu akuzidishie.
Dada Ashura
sasa jamani hata kama tuna honest comment tunyamaze? tuna nia njema na hapa tunatoa ushauri tu na hatuna njia nyingine ya kumfikia kirahisi. yeye ni mwafrika, mmatumbi 2b specific, sasa atuwakilishe kiutamu bwana. sisi hatuna culture ya kuchonga miili kama milingoti haitii ladha na hamu mwaya, usinenepe sana lakini tia kidogo naksi ya vinyama. utanoga zaidi. kuhusu kazi yako, tunakukubali n keep it up!!!
ReplyDelete