unaona twiga wangapi hapa...
hawa jamaa wakali kweli wakiwa na watoto wao...
tulimkuta filbert bayi akila tizi...barabarani mitaa ya seronera
ankal na wadau wakiwa getini. jamani mkipata fursa ya utalii wa ndani msiiachie









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hapo ni Ndabaka Gate nimepata bahati sana ya kupita njia hiyo kikazi lakini ndani yake ninapata uhondo wa kutalii ukipita katikati ya mwezi wa saba unakutana na Great Migration inavutia sana.

    ReplyDelete
  2. Twiga wako wawili mtu wangu. mmoja anaonekana mwili mzima, mwingine anaonekana kichwa tu ila kiwiliwili kimefichwa/kingwa na kichaka

    ReplyDelete
  3. ankal pole na kampeni za CCM. Ilikuwa ni lazima wakupe mapumziko baada ya hekaheka za uchaguzi umewafanyia kazi nzito maana hii blog yako ikuwa kama ya chama tawala

    ReplyDelete
  4. Sababu kubwa ya kuwa watanzania hatutembelei sehemu kama hizi ni kuwa hatuzijui zilipo na hata tukijua kama zilipo tunadhani ni ghali na ni kwa ajili ya watalii kutoka nje ya nchi.

    Wizara ya utalii haina matangazo yeyote ya kupromote wananchi kutembelea sehemu kama hizi.

    ReplyDelete
  5. watanzania hawatembelei mbuga za wanyama kwa sababu hawana utamaduni wa kutembea na kuona vitu mbalimbali, utakuta mtu yuko dar es salaam miaka 10 au zaidi, unamuuliza unajua eneo fulani anakwambia hajui aende hukoakatafute nini? kila mwaka wizara ya utalii wanaanda safari za utalii wa ndani, waulize watu wenye hela zao Tanzania katembelea wapi hana majibu zaidi ya kukwambia billicans , rose garden , break point nk, siamini kuwa kipato ni kikwazo, si kweli kupanga ni kuchagua

    ReplyDelete
  6. Nashindwa kuelewa kwa nini watu wengine wanamsakama Michuzi kwa kuwa upande mmoja, kama huyo Anon wa Tue Nov 09, 09:12:00 am?

    JAMANI, uandishi wa habari (mainstream journalism) ni tofauti na ule wa blogu!

    Uandishi wa habari (mainstream journalism) ni objective); una produsa na edita!

    Blogging (mtoaji na mchangiaji) ni subjective!

    Wasomi/wasilikilizaji/watazamaji wa habari wanahitaji hicho kitu kiitwacho “objectivity”. Lakini wachangiaji/wasomi/wasilikilizaji/watazamaji wa blogu hawana haja ya majambo kama hayo.

    Ukipata nafasi, kuhusu blogu, rejea: http://www.guardian.co.uk/media/greenslade/2010/sep/20/blogging-new-york-times

    Na kuhusu “mainstream journalism”, rejea: http://www.bbc.co.uk/blogs/theeditors/2010/09/impartiality_is_in_our_genes.html

    Umbumbumbu wetu usitupotoshe kiasi cha kutujengea uhasama kati yetu!

    ReplyDelete
  7. Hizo picha kuna mahali unaziuza? mimi nataka kununua....stock photos...post back nijue

    ReplyDelete
  8. Michuzi hicho kimeo ulichoshika mkononi hakiendani na wewe kabisa.
    Mpatie shemeji yetu

    ReplyDelete
  9. Nakuunga kauli Bwana Michu......utalii wa ndani ni wa Muhimu hayo maeneo sio ya watu kutoka mbali hata sie wenyewe tunapaswa kutafuta muda wa kupumzika na kufurahia humuhumu kwetu.......Mtanzania kuingia 1,500 watu wakijipanga kwa kikundi kama hicho chenu wala hawatashindwa angalau siku mbili tu mbugani.
    Watanzania tupende vyetu kwa kuvithamini ndipo tutajua thamani ya kuviachia kwa wageni.

    Narudia tena...nakuunga kauli Bwana Misupu....Utalii wa ndani ya nchi yetu ni muhimu kuongeza ufahamu wa vitu vyetu wenyewe kwanza!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...