Home
Unlabelled
Zanzibar Heroes na Rwanda zaibuka kidedea tusker challenge cup leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kumbe Tanzania watu hawapendi mpira, yani kiwanjani hakuna kabisa mashabiki, au waliweka kiingilia kikubwa sana.
ReplyDeleteHongereni Zanzibar kwa kushinda.
Haya wale wanaosema zanzibar mdebwedo mambo ndo hayo hapo sisi hatuongei sana ila vitendo tu. hao wamedhaminiwa milioni tisa tu.Nyie mnadhaminiwa na viwanda vya pombe ufisadi mtupu
ReplyDeleteHongera wazanzibari
hongera ndugu zetu wa zanzibar lakini cha kusikitisha uwanja mtupu.
ReplyDeleteKatika nchi nyengine bei za viingilio hupunguzwa sana ili uwanja ujae na hata huwapa tiketi za bure wanafunzi wa mashule ili kuwepo na shamra shamra uwanjani kuliko kuwepo na viti vitupu.
ReplyDeleteAlieuliza kama tanzania hatupendi mpira, jawabu ni kuwa tunapenda lakini bei zinatushinda ndugu yetu!!!!
kama wa zenchi wanaweza kufundishika kwa nini sio wa bara? wa zenchi wanaumoja sana , wabara fitina nyingi.
ReplyDeletemdau paris
kuna mtu mwenye majibu ya kwa nini uwanja mtupu?
ReplyDeleteNilisema ndugu zetu wa bara si kwa mpira koment zangu zikafutwa. Nasema tena bara ni kwa kuimeza Zanzibar tu si kwa kitu chengine ngojeni wazenji wakuonesheni mpira.
ReplyDeleteMbona uwanja mtupu ama tunahitaji 'muafaka' kwenye michezo ndio mambo yakae sawa.
ReplyDelete(US Blogger)
mdau wa Mon Nov 29, 12:00:00 AM jawabu ni tumbo joto. Bei ni ghali mno kwa mlala hoi, plus haikuwa brazil uwanjani kwa hivyo vigogo na wakurugenzi hawakupanga foleni kudemand tiketi za bure,
ReplyDeleteDuuh! Uwanja huo enzi zetu ulikuwa unajaa kama nini. Naongelea miaka ya 90's. Tenga and Co inabid ku hire marketing guru awasaidie.
ReplyDeleteKwa kweli CECAFA inabidi mjiulize kwa nini viwanja viwe tupu wakati wa mechi. Ni bora kuweka hata viingilio vya jero na buku angalau sura za watu zionekane humo. Mechi ina mashabiki wachache kuliko hata ashanti ikicheza na opeki hapo temeke.
ReplyDeletehongera saana amavubi club jitaidini vijana hilo kombe mlipeleke home rwanda maana zamani lilikua linaitwa kagame cup kama sikosei.. rwanda juu juuu zaidi.
ReplyDeletemdau kigali makazi boksini kusaka chake
Jamani uwanja kuwa mtupu hivi inatia huzuni sana. Yaani ndiyo ile tukiita challenge kapu hii?! Au Tenga kasahau tulinyokuwa tukijazana miaka ile kumuone yeye na wenzie wacheza challenge kapu pale neshno? Mafisadi kweli hawa.
ReplyDeletemdau wa Mon Nov 29, 04:55:00 AM, hapana kombe hili huko nyuma tena nyuma kweli lilikuwa likijulikna kama challenge cup na likishindaniwa na timu za east africa ya kikweli, yaani zanzibar, tanzania bara, kenya na unganda peke yao.
ReplyDeleteMpiga boksi makini uk
UWANJA KUWA MTUPU WALA HAITAKI KUJIUMIZA KICHWA. TUJIULIZE KUNA TANGAZO LOLOTE LA MECHI KAMA HII ZIKIKARIBIA WANA PROMOTE KWENYE VYOMBO VYA HABARI??
ReplyDeleteHII YOTE INATAKA SHULE ILI WAFAHAMU IMPACT YA PROMOTION KWENYE VYOMBO VYA HABARI. NA HII NDIO ITAPELEKEA KUINUA STANDARD YA MPIRA TZ. MTU ANAWEZA AKAULLIZA PROMOTION NA KIWANGO CHA MPIRA INA LINK GANI? HILO NI JIBU UKAE LITAFUTWE.
"...kuna mtu mwenye majibu ya kwa nini uwanja mtupu?"
ReplyDeleteJibu: Kwa sababu uwanja ni mtupu!
MTOA MAONI Mon Nov 29, 02:06:00 PM, Naona huna data hili kombe zamani liliitwa Gossage na lilishirikisha Tz, zenji, kenya, ug, malawi Zambia pia na Sudan mpaka Somalia, badaye chalenji mpaka miaka ya 90 zambia na malawi zikajitoa na kwenda COSAFA, SIKU ZA KARIBUNI KUMEKUWA NATABIA YA KUAALIKA TIMU TOKA NJE YA CECAFA KAMA ZAMBIA NA IVORY COAST MIAKA YA MWISHONI MWA 90 NDIO RWANDA NA BURUNDI ZILIJIUNGA NA BADAYE KOMBE KUITWA KAGAME CUP, HONGERENI ZENJI INGAWA MIMI MBARA WAKOME HAWA NA WANAFUNDISHWA NA KOCHA WA MUUNGANO LAKINI OOOOVYOOOOO
ReplyDelete