ankal leo amegundua njia ya bei poa kwenda zenji. hapa ni Bagamoyo bandarini, nauli inajieleza. unakwea daladala pale Mwenge jijini Dar kwa buku jero, kisha unamalizia na hiyo. tayari uko zenji. usafiri ni kwa jahazi..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Anza wewe kwanza michuzi kwa kucross na jahazi kwenda na kurudi alafu tupe wadau full story ya hukoo njiani then tutafikiria kutumia aina hiyo ya usafiri , na usisahau kusema linatumia mda gani hilo jahaza kufika.

    ReplyDelete
  2. ankal hizo jahazi zinashukiawapi zenji nawana leseni ama kienyeji?

    us blogger

    ReplyDelete
  3. acha kupotosha watu michuzi huo ni dhahiri usafiri haramu watu wakifa maji utasema nini una advertise usafiri wa aina hii
    rudi kwenye kuandika ya maana utani huu unaweza cost maisha ya watu

    ReplyDelete
  4. usafiri upo kweli na na kila siku watuwanasafiri , sio salama na chombo hakiruhusiwi kuchukuwa abiria ni kwaajili ya mizigo safari huchukua masaa 6 kikawaida lakini inaweaza kuchukua hadi masaa 10 bahari ikiwa chafu , kama unataka kujaribu njoo na life jacket lako , katika hali ya umasikini inabidi utumie usafairi huuu, slim mdau wa bagamoyo

    ReplyDelete
  5. Uwo ni ugunduzi mzuri, watu wakianza kuutumia kwa wingi, na ikitokea Majahazi mawili matatu kuzama na watu. Next step wadau wa usafirishaji wataweka boat za kisasa.

    Ni usafifiri muhafaka kama unatoka Bagamoyo kwenda Kusini Unguja- Kizimkazi Mtendeni, Kwele na Chumbe.

    ReplyDelete
  6. Uwo ni ugunduzi mzuri, watu wakianza kuutumia kwa wingi, na ikitokea Majahazi mawili matatu kuzama na watu. Next step wadau wa usafirishaji wataweka boat za kisasa.

    Ni usafifiri muhafaka kama unatoka Bagamoyo kwenda Kusini Unguja- Kizimkazi Mtendeni, Kwele na Chumbe.

    ReplyDelete
  7. hapo mambo swari kama upo juu ya mawe sio wa kila mtuu da natakakujua kunakunegoshieti wadau hapo kama ni jahazi mi natoa buku mbili hapo vipi

    ReplyDelete
  8. he he na hilo jahazi huchelewi kujikuta mko mtwara badala ya zenj

    ReplyDelete
  9. Insurance ya wasafiri wake imeandikwa hapo hapo kwenye jiwe?

    ReplyDelete
  10. heheeheh, huo usafiri hatari, kuna mtu alijaribu mbona hakufika mbali akaomba ashushwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...