Mzee mzima Danny Glover akiwa na Nyota wa Njenje kwenye mnuso fulani hivi karibuni. Kwa taswira hii na nyingine kibao tembelea libeneke jipya la wana njenje

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Nchecheme Nchecheme Leo Oyaye ... Njeje inaduarika ktk libeneke, kweli Lambwalambwa Lambwatika na Kilimanjaro Band kwenda na wakati kwa teknohama, hongereni sana.

    Mdau
    Honolulu
    Visiwani Bahari ya Pasifiki.

    ReplyDelete
  2. Kwa nini miduara huwa inakwenda anti-clockwise siku zote na hatuoni clock-wise motion?

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  3. ule wimbo "uliona wapi nyumba ya gorofa kufugia kuku" mbona siusikii redioni?uko kwenye albam gani ninunue?

    ReplyDelete
  4. Kijogolo sio wimbo wa njenje nyumba ya ghorofa ukifugia kuku ni uchafu mtupu nafikiri ni chezimba ndio walipiga. Sijaona manowari ikipita barabarani michu tutafutie basi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...