Home
Unlabelled
Makamu wa Rais akutana na Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wa Zambia leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
naona Bilali kapigwa sopsop la nguvu. wakati wa kampeni alikuwa kachoka kama nini sijui. lakini sasa hivi anaonekana vizuri, tena kawiva, kuliko siye wabeba maboksi. kweli madaraka mazuri jamani.
ReplyDeleteDuuh jamani neema haichagui, mmemuona Bilal!
ReplyDeletemdau wa kwanza kumbe umeona hili na wewe kile kipindi cha kampeni nilishindwa kuingia humu manake picha za jamaa zilikuwa siyo kabisa, sasa hivi ana mng'ao kweli, madaraka matamu jamani oneni wenyewe!
ReplyDelete