Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akihutubia Majaji na Mahakimu wa Mahakama za Tanzania katika uzinduzi wa mfumo wa kurekodi mashauri Mahakamani kwa Kompyuta na tovuti ya Mahakama, katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizinduwa mfumo wa kurekodi mashauri mahakamani kwa kompyuta na Tovuti ya Mahakama katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akibofya kitufe cha kompyuta kuzinduwa mfumo wa kurekodi mashauri mahakamani kwa kompyuta na Tovuti ya Mahakama katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal katikati, Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Augostino Ramadhani wa pili kulia, wakiwa katika picha ya pamoja na Majaji na Mahakimu wa Mahakama za Tanzania mara Makamu wa Rais Baada ya kuzinduwa mfumo wa kurekodi mashauri Mahakamani kwa Kompyuta na Tovuti ya Mahakama uliofanyika leo katika ukumbi wa Mahakama Kuu jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...