KAMPUNI KUBWA YA ULINZI ZANZIBAR INATANGAZA NAFASI KADHAA ZA KAZI YA ULINZI.
SIFA ZA MWOMBAJI
1. Awe Mtanzania mwenye cheti cha kuzaliwa au affidavit.
2. Awe na elimu ya msingi au sekondari.
3. Awe amepitia mafunzo ya JKT au Mgambo.
4. Awe na umri baina ya miaka 23 hadi 35
5. Urefu zaidi ya futi 5 itkuwa nzuri zaidi.
Kwa nafasi za Supervisors, mwombaji atatakiwa awe na uwezo wa kuandika na kuzungumza kiingereza pamoja na sifa hizo hapo juu.
SEHEMU YA KUFANYIA KAZI ITAKUWA ZANZIBAR TU.
Mwombaji atatakiwa kuwa na makazi kwa muda wa wiki 3 za mafunzo na baada ya hapo anaweza kubahatika kupata makazi bure.
Kwa maelezo zaidi, piga simu namba 0767 237 168
Tafadhali mwambie mwenzio habari hizi.
SIFA ZA MWOMBAJI
1. Awe Mtanzania mwenye cheti cha kuzaliwa au affidavit.
2. Awe na elimu ya msingi au sekondari.
3. Awe amepitia mafunzo ya JKT au Mgambo.
4. Awe na umri baina ya miaka 23 hadi 35
5. Urefu zaidi ya futi 5 itkuwa nzuri zaidi.
Kwa nafasi za Supervisors, mwombaji atatakiwa awe na uwezo wa kuandika na kuzungumza kiingereza pamoja na sifa hizo hapo juu.
SEHEMU YA KUFANYIA KAZI ITAKUWA ZANZIBAR TU.
Mwombaji atatakiwa kuwa na makazi kwa muda wa wiki 3 za mafunzo na baada ya hapo anaweza kubahatika kupata makazi bure.
Kwa maelezo zaidi, piga simu namba 0767 237 168
Tafadhali mwambie mwenzio habari hizi.
Zanzibar kuna JKU na Volunteer. Mbona sifa hizo hukuzitaja? Au hutaki kuajiri wazanzibari!
ReplyDeleteKatika hiyo Age range, ni vigume kupata mtu aliyepitia JKT kwa sababu generation yenye age hiyo ilikuta JKT imeshasitishwa. Kwa maana hiyo basi hili tangazo ilikuwa more relevant litaje mtu mwenye experience ya Mgambo tu.
ReplyDeleteTaja mshahara wewe!au nyie ndio mnaochukua mikataba minono toka kwa wawekezaji uchwara halafu mnalipa watanzania elfu 70 hakuna bima wala mifuko ya hifadhi ya jamii.
ReplyDeleteNipe muongozo wa kufanya kazi kwenye shilika hili nime pitia mafunzo ya awali mgambo jeshi laakiba
ReplyDelete