Home
Unlabelled
sneak preview of Mo Dewji's documentary
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi kuna mantiki gani kutumia kiingereza? Jibu ni rahisi sana. Halengwi mtu wa Singida. Mlengwa ni nani hasa? Siasa Uchwara hizi. Usibanie haya maoni Michuzi.
ReplyDeleteKwakusema Ukweli huyu Kijana ni Mzuri kwa Wananchi Wake wa Singida, yeye ni tajiri na msomi lakini anafanya mambo bora kweli sio FISADI sijui kwanini Kikwete hamfanyi Waziri, katosheka...
ReplyDeleteKITU KINANIFANYA NISIMPENDE ZAIDI KUWA YEYE NI SIMBA...
RonKen -- New York
Watu kama hawa ndio tegemeo kwa Taifa. ya kuleta mabadiliko na changamoto kwa Taifa. ndio wanostaili kushika nyadhfa za uongozi. kwa kuwa anajali na kuwahulumia wanachi wake
ReplyDeleteHata kama atatumia lugha ya kinyanturu au kinyiramba bado watu wa Singida hawataweza kuiona kwa sababu hawana internet,huyu kijana ni Obama wa Singida,kudos Dewji!
ReplyDelete