Kituo cha Afya hiki kinachomilikiwa na Taasisi moja ya kidini kilichpo Manispaa ya Morogoro cha kikiwa kimefungwa na kuandikwa maadishi makubwa mwekundu kueleza hivyo baada ya kukaguliwa na Wataalamu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii . Hiki ni kituo kimoja kati ya vinne katika manispaa ya Morogoro zilizofungiwa kutoa huduma za tiba na matibabu na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii , kama ilivyokutwa Desemba , 26 mwaka huubarabara ya Madaraka na Mdau John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...