Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipeana mikono na na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda katika Ukumbi wa mikutano Ubungo Plaza alikoenda kufungua Semina elekezi ya siku 10 kwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akifunguwa Semina Elekezi ya siku 10 kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoanza leo katika ukumbi wa Hoteli ya Ubungo Plaza Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuagana na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kufunguwa Semina elekezi ya siku 10 kwa Wabunge hao katika ukumbi wa Hoteli ya Ubungo Plaza leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...