Kitu hicho.....

Liverpool clung on for a gritty victory against Fulham as they moved up to seventh in the Premier League.

The Reds went ahead on 52 minutes when a Fernando Torres strike was deflected against the post and John Pantsil sliced a clearance into his own net.

Fulham belatedly came out of their shell and had a Brede Hangeland header cleared off the goal-line.

And a point-blank save late on by Reds keeper Pepe Reina from Moussa Dembele helped secure victory for Liverpool. Kwa habari kamili tembelea BBC Sport

BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Bwawa la maini oyeee!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Ama kweli kipofu ameona mwezi.Yaani huu ushabiki wa namna hii unaniacha hoi.Wakati watu walipokuwa wamezama kwenye bwawa la tope; hata 4WD ikagoma kukwamua matairi tulikuwa hatuoni habari za hii club hapa.Mechi ya pili tu na ushindi mwembamba;tayari picha zimeanza kumiminika.Poleni adau;inabidi muwe na timu hata inapofanya vibaya.Timu ikikwama kwa BWAWA LA TOPE msiikimbie

    ReplyDelete
  3. HA HA HA HA! MBAVU SINA! Ama kweli kipofu ameona mwezi.Yaani huu ushabiki wa namna hii unaniacha hoi.Wakati watu walipokuwa wamezama kwenye bwawa la tope; hata 4WD ikagoma kukwamua matairi tulikuwa hatuoni habari za hii club hapa.Mechi ya pili tu na ushindi mwembamba;tayari picha zimeanza kumiminika.Poleni wadau;inabidi muwe na timu hata inapofanya vibaya.Timu ikikwama kwa BWAWA LA TOPE msiikimbie.

    Mdau, Little P

    ReplyDelete
  4. from where?......

    ReplyDelete
  5. Bado kidogo tu mtachukua ubigwa!! Bwawani oyeeeeee

    ReplyDelete
  6. ...Ndio tumeanza ligi hivyo mjiandae huko juu,Dalglish anakuja

    ReplyDelete
  7. Angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...