Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Serikali ya Burundi Mhe. Hafsa Mosi wakati Waziri huyo alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo kwa ajili ya kumkabidhi Ujumbe Maalum wa Rais Jakaya Kikwete kutoka kwa Rais Piyer Nkurunziza wa Burundi.
Home
Unlabelled
Makamu wa Rais akutana na Waziri wa Afrika Mashariki wa Burundi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Naona kama vile wamechanganya viti vyakukaa.... mkubwa anaonekana mdogo na mdogo anaonekana mkubwa.... mgeni anaonekana mwenyeji na mwenyeji anaonekana mgeni. Au nimeona mimi tu hilo swala???
ReplyDelete@jan 27,02:47 pm
ReplyDeletetulia wewe mzee aimbishe.
Anony namba 1, Hacha maneno yako kwamba wewe unajua sana kuliko wakuu wa Itifaki acha maneno yako hayo hapo wapo sawa au umezoea kuona kila siku mwenyeji anakaa pale hacha maneno yako wapo sawa tu.
ReplyDelete