Ndugu Risasi Mwaulanga Balozi wa Amani wa Chama cha Universal Peace Federation na kulia ni Nangasu Warema ni Mwenyekiti wa Amani Foundation isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na Amani Demokrasia Tanzania wakizungumzia amani Tanzania bila ya kutofautiana kuendeleza amani iliyopo kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) leo jijini Dar es salaam.
Ndugu Risasi Mwaulanga Balozi wa Amani wa Chama cha Universal Peace Federation na kulia ni Nangasu Warema ni Mwenyekiti wa Amani Foundation isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na Amani Demokrasia Tanzania wakizungumzia amani Tanzania bila ya kutofautiana kuendeleza amani iliyopo kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) leo jijini Dar es salaam.

He, makubwa; Hilo jina tu linakosesha amani tayari. RISASI!!!
ReplyDeleteKAKA MICHUZI HABARI KAMNA HIZI UNGEKUWA UNAWEKA WALAU PARA 2 AU 3 ZA NINI HASA ALICHOSEMA KULIKO KUTUWEKEA KA PICHA TU NA ANUANI YA ALICHOZUNGUMZA (MADA).
ReplyDeletewauza sura hao
ReplyDelete