
Lady Jd na bendi yake ya Machozi wakitumbuiza wikiendi iliyopita wakati kampuni Tanzania Standard Newspaper (TSN), wachapishaji wa magazeti ya serikali ya Daily News, Sunday News na HabariLeo walipoandaa mnuso wa kuukaribisha mwaka kwa ajili ya wadau na wateja wao wakuu katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski jijini Dar.
Kwa picha kibao za mnuso huo BOFYA HAPA
Kwa picha kibao za mnuso huo BOFYA HAPA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...