Lady Jd na bendi yake ya Machozi wakitumbuiza wikiendi iliyopita wakati kampuni Tanzania Standard Newspaper (TSN), wachapishaji wa magazeti ya serikali ya Daily News, Sunday News na HabariLeo walipoandaa mnuso wa kuukaribisha mwaka kwa ajili ya wadau na wateja wao wakuu katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinski jijini Dar.
Kwa picha kibao za mnuso huo BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...