habari kaka Michuzi, pole na kazi na hongera kwa kutuhabarisha current Newzz hasa sisi tulio mbali na mgao wa umeme.

Kaka naomba unisaidie kupost ili wadau wanisaidie katika blog yetu ya jamii
Mimi ninahitaji kununua nyumba/ kiwanja, napendelea maeneo ya Ilala au kinondoni, nyumba au kiwanja hicho kiwe mahali panapofikika na gari na iwe na hati au offer (namaanisha iwe sehemu iliyopimwa kisheria) naomba mtu aliye serious na kufanya hio biashara aweke contact zake kwenye comment tuwasiliane zaidi au anitumie maelezo kupitia mnally@gmail.com
Asante

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Sorry my Email is mnally7@gmail.com,..samahani kwa usumbufu

    ReplyDelete
  2. The house is sold at Magomeni Mapipa, Kinondoni. I am one of the family members. You may reach me at mmngana@gmail.com for more info.

    ReplyDelete
  3. wewe kama mnunuaji nenda mwenyewe bongo usitake watu wakutukane bure kwani hao wanaonunua lazime wataarifu dunia pesa zenyewe huna za mabox kutaka kushow off

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...