Wanautamaduni wa China wakitumbuiza kwenye sherehe za Mwaka wa Kichina zinazoendelea hivi sasa katika bustani ya Mnazi Mmoja garden jijini Dar na kuhudhuriwa na mamia ya wachina na Watanzania na wageni waalikwa toka mataifa mbalimbali
Wachina wakisherehekea mwaka mpya wao leo

Baadhi ya mamia ya Wachina wanaoishi Tanzania wakirusha vishada katika kusherehekea Mwaka Mpya wa China jioni katika bustani ya Mnazi Mmoja garden jijini Dar
Vijana wa Kitanzania wakionesha ustadi wao katika Shaolin Kung Fu leo viwanja vya bustani ya Mnazi Mmoja garden katika kusherehekea Mwaka Mpya wa Kichina



Vijana wakionesha vipaji vyao katika Kung Fu leo
mdau aliyepata kusomea China akionesha ujuzi wake leo



Baadhi ya wachina katika sherehe hizo



Wadau kibao toka China wapo Mnazi Mmoja leo









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...