Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda akifanya uzinduzi wa mpango wa kuendeleza kilimo ukanda wa kusini m wa tanzania [SAGCOT ] kulia kwake ni waziri wa kilimo na ushirika Prof Jumanne Maghembe kushoto ni katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu Peniely Lyimo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikata Utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Kilimo katika eneo la Ukanda wa Kusini mwa Tanzania (SAGCOT) wenye lengo la kuwainua na kuwawezesha wakulima wadogo wanufaike na shughuli za kilimo hivyo kukuza sekta binafsi. Wanaoshuhudia uzinduzi huo kutoka kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri mkuu Bw. Peniel Lymo na Bw. Frank Braeken mwenyekiti wa ukanda wa Mpango wa Kilimo Kwanza.
Baadhi ya Mawaziri wa Tanzania na Mabalozi wa Nchi mbalimbali wakifuatilia mambo mbalimbali wakati wa uzinduzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Kilimo katika eneo la Ukanda wa Kusini mwa Tanzania (SAGCOT) leo jijini Dar es salaam.
Wadau wa sekta ya Kilimo wakiwemo wawakilishi wa mashirika yanayojihusisha na shuguli za kilimo, mabalozi wa nchi wahisani, mashirika binafsi na wakulima wakiwa ndani ya chumba cha mkutano kushiriki uzinduzi wa uzinduzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Kilimo katika eneo la Ukanda wa Kusini mwa Tanzania wenye lengo la kuwainua na kuwawezesha wakulima wadogo wanufaike na shughuli za kilimo leo jijini Dar es salaam.Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...