Mwanamziki wa bendi ya msondo ngoma,Hamisi Maliki 'Super Maliki' pichani amefaliki Dunia. mwanamziki huyo aliyekuwa akiimba sauti ya kwanza amefaliki katika hospital ya Agrikan Malapa jijini Dar es salaam alfajiri ya kuamkia leo.
Marehemu Maliki alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa limonia ambao ndio umpelekea kupoteza maisha.mipango ya mazishi inafanya na tutaendelea kufahamishana kadri taarifa zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole kwa Bendi ya Msondo Ngoma kwa kumpoteza kipenzi chao pamoja na ndugu,jamaa na marafiki wa Marehemu.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Marehemi.
-Amein.
Marehemu Maliki alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa limonia ambao ndio umpelekea kupoteza maisha.mipango ya mazishi inafanya na tutaendelea kufahamishana kadri taarifa zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole kwa Bendi ya Msondo Ngoma kwa kumpoteza kipenzi chao pamoja na ndugu,jamaa na marafiki wa Marehemu.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Marehemi.
-Amein.
Poleni Msondo ngoma
ReplyDeletePoleni Sana! Msondo ngoma pamoja na ndugu wa marehemu,
ReplyDeleteTumepokea taarifa hii kwa majonzi makubwa,
mwenyezi mungu amlaze pema peponi marehemu,
Wadau
ngoma Africa Band aka FFU
poleni kwa msiba,na huu mwaka unaonekana sio mwepesi kwa wanamuziki,mwenyezi mungu atupe mwisho mzuri
ReplyDeleteMdau istanbul