Mjumbe wa Bodi na mkuu wa Msafara wa timu ya Atreticco Paranaense toka chini Brazil,Rodevto Elias Karam (kulia) akiongea na vyombo vya habari usiku huu katika hoteli ya Movenpick ilipofikia timu hiyo.kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Kimataifa katika timu hiyo,Ocry Neto ambaye alikuwa akitafsiri mazungumzo ya mjumbe wao huyu dhidi ya wanahabari.
Mjumbe wa Bodi na mkuu wa Msafara wa timu ya Atreticco Paranaense toka chini Brazil,Rodevto Elias Karam (kulia) akiongea na vyombo vya habari usiku huu katika hoteli ya Movenpick ilipofikia timu hiyo.kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Kimataifa katika timu hiyo,Ocry Neto ambaye alikuwa akitafsiri mazungumzo ya mjumbe wao huyu dhidi ya wanahabari.



na hao wamelipwa bei gani kuja bongo?
ReplyDelete