
Mwaendeshaji wa mtandao wa MAX COM,Juma Rajabu akitoa ufafanuzi juu ya matumizi mtandao wake katika mkutano wa wataalam wa ICT uliofanyika leo jioni katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ili kushiriki makongamano hayo ya ICT inabidi mtangazie umma walau kabla ya siku mbili, haina maana kutuletea picha tayari nyie mmeshashiri. next time tangazeni mapema na sisi tushiriki
ReplyDeleteWe anon wa hapo juu inaelekea wewe si mdau wa ICT. Ungekuwa mdau wa kweli ICT ungekuwa ushatembelea website yao na kujiunga kwenye mailing list ili kupata taarifa za mikutano, n.k.
ReplyDelete