Makamu wa Rais Dr Mohamed Ghalib Bilal akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu Mh. Edward Lowasa katika hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es sa salaam leo. Kati ni Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda. Wote walikuwa wanashiriki semina ya wa bunge wa CCM
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda na Waziri Mkuu Mstafu na mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa wakiwa katika mazungumzo wakati wa mapumziko katika semina ya wabunge wa CCM
alaaah na weye upo kwenye posho ya semina?
ReplyDeleteee bana niiachie tena!