Msanii Juma Nature akiwa na Kiongozi wa African Stars 'Twanga Pepeta' Lwiza Mbuttu mara tu baada ya mkutano wa waandishi wa habari na waandaji wa tamasha la Sauti Za Busara jijini Dar leo. Sir Nature atakuwepo Sauti za Busara kwa mara ya pili wakati Twanga watakuwa Zenji kwa mara ya kwanza kwenye tamasha hilo. Chini ni video ya Lwiza Mbuttu akiongelea mipango ya Twanga k.
Msanii Juma Nature akiwa na Kiongozi wa African Stars 'Twanga Pepeta' Lwiza Mbuttu mara tu baada ya mkutano wa waandishi wa habari na waandaji wa tamasha la Sauti Za Busara jijini Dar leo. Sir Nature atakuwepo Sauti za Busara kwa mara ya pili wakati Twanga watakuwa Zenji kwa mara ya kwanza kwenye tamasha hilo. Chini ni video ya Lwiza Mbuttu akiongelea mipango ya Twanga k.

Am inlov wiz zoz puaz mwaaaa!:o)
ReplyDeleteLwiza umekua sasa, nadhani it is time run your own entreprise....you have worked with twanga for more than reasonable time
ReplyDeleteKweli kabisa Anony Wed Jan 26, 02:46:00 PM 2011. Kama sikosei huu ni mwaka wa 11 Luiza yupo Twanga. Kwa uzoefu aliopata kipindi chote hicho nadhani atapata mafanikio makubwa akifuata nyayo za Lady Jay Dee na kuanzisha bendi yake.
ReplyDelete