

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Tangu Mhe. Maajar awasili Marekani amekuwa Balozi kwli wa Tanzania. Ameanza hapa Washigton kwa kuonana na Watanzania na kuwakariisha Ubaloz na kutoa business cards za na mob. namba yake kitu ambacgo kimevutia watanzania kwani amekuwa ni wa watu saana. Pia anakwenda katika majimbo si yale yalizooleka California ,Seattle, New York na Boston bali amekuwa na hamsa na kwenda katika majimbo ambayo huwezi kuamini kwamba ni Marekani kwani hayavumi. Piga kazi mama fikisha ujumbe wa Tanzania kote Marekani.
ReplyDelete