Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dr Charles Kimei (katikati), Afisa Mtendaji Mkuu wa Shule ya biashara ya Millpark Business School Bw.Julian Van Der Westhuizen (kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof.Rwekaza Mukandala (kulia), wakisaini mkataba wa makubaliano wa kuendesha programu hiyo ya mafunzo yatakayoimarisha zaidi utendaji kwa watumishi wa Benki hiyo na Benki zingine nchini Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dr. Charles Kimei, Afisa Mtendaji Mkuu wa Shule ya biashara ya Millpark Business School Bw.Julian Van Der Westhuizen na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Rwekaza Mukandala, baada ya uzinduzi rasmi wa programu hiyo. Waliosimama kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa Benki ya CRDB Bi.Dorah Ngaliga, Mwakilishi wa Gavana wa Benki kuu Bi. Frola Mwaigomola na Mwakilishi wa Danida.

Wafanyakazi wa Idara ya Rasilimali watu ya Benki ya CRDB wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dr. Charles Kimei, Afisa Mtendaji Mkuu wa Shule ya biashara ya Millpark Business School Bw.Julian Van Der Westhuizen na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Prof. Rwekaza Mukandala baada ya uzinduzi rasmi wa programu hiyo.katika hoteli ya Movenpick.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mangi wa KiboshoFebruary 12, 2011

    Kusema ukweli wadau mie CRDB naiona kama ndio Benki ya mfano wa kuigwa hapa TZ, wengine ni UTAPELI tu esp. zile za kigeni. zimekuja kuchuma then waondoke zao. Angalia huta interest rete zao mara zote wana-discarage waTZ kukopa au ukikopa huwezi kuridisha! Na achangiaji wao wa hudumaa za kijamii ni mdogo sana sana!NMB nao wako matawi ya juu lakini waliobakia Mh!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...