akiwa na mchezaji John Carew wa Stoke City hoteli ya Hyatt,
Birmingham usiku huu. Huyu baba ni kutoka Gambia na mama ni wa Norway. Kwa sasa yuko kwa mkopo Stoke City akitokea klabu ya Aston Villa

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nafikiri Unco umechemsha kuhusu John carew kuzaliwa Gambia!John amezaliwa Norway na nimnorwigian isipokuwa baba yake nimgambia na mama yake Mzungu mnorwigian!
ReplyDeleteSasa Ankal vipi na huo uongo wako? Eti huyu ni mzaliwa wa Gambia!! mhh h Carew si mzaliwa wa gambia ila baba yake ni mgambia na mama yake mnorway na yeye alizaliwa hapa norway, chunguza data vizuri kaka
ReplyDeleteMichuzi hakukosea, kasema (kuhusu John Carew) "huyu Baba ni kutoka Gambia na Mama ni wa Norway" hakusema John Carew kazaliwa Gambia, someni vizuri maelezo ya picha nyie watoa maoni wawili wa mwanzo, ikibidi nendeni mkapime macho ili muanze kutumia miwani ya kusomea.
ReplyDeleteHahaahah Unajuwa hata mie naweza kuwatetea watowa maoni wawili wa mwanzo mdau usiwalalamikie sababu labda hujaona mwanzo kabisa Michuzi aliandika nini kabla kubadilisha tusiwe tunawarukia watu makucha ya Paka kabla kuelewa ilikuwaje mwanzo? Michuzi naye kama bianadamu tusiwe tunamuita mtu muongo labda alikosea tu. KZ
ReplyDeletewamesoma kwa haraka,,,, inatokea hata mitihani mtu anafeli kutokana na kutokuwa makini
ReplyDeletemichu umenichekesha kweli! hao yanga wakimtaka huyo ni wazi WAUZE LILE JUMBA KWANZA NDIO wamnunue ....lol
ReplyDelete