Tamasha la Jazz for Relief Night linatarajiwa kufanyika Jumamosi tarehe 5 Machi ambayo ni siku ya wapenda jazz music kukusanyika katika Jazz & Blues bar pale Harbour View Suites Hotel ghorofa ya 9 (JM Mall) mtaa wa Samora jijini Dar.
Madhumuni ya tamasha hii ni kuchangisha pesa za kusaidia walioathirika na mabomu kule Gongo la Mboto. Tunatafuta wadhamini wa tamasha hili, na mashabiki wanaopenda muziki uliotulia -- JAZZ, kutuunga mkono. Wanamuziki wa jazz hapa nchini wata tumbuiza siku hiyo, akiwepo pia Joett.
Kwa habari zaidi, BOFYA LINK HII
Jazz for Relief Night at Harbour View Suites Hotel
Madhumuni ya tamasha hii ni kuchangisha pesa za kusaidia walioathirika na mabomu kule Gongo la Mboto. Tunatafuta wadhamini wa tamasha hili, na mashabiki wanaopenda muziki uliotulia -- JAZZ, kutuunga mkono. Wanamuziki wa jazz hapa nchini wata tumbuiza siku hiyo, akiwepo pia Joett.
Kwa habari zaidi, BOFYA LINK HII
Jazz for Relief Night at Harbour View Suites Hotel
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...