Home
Unlabelled
JKT Oljoro ya arusha yapanda daraja, kucheza ligi kuu msimu ujao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
duh. vijana mnanikumbusha operesheni 'programu ya chama' intake june 15, 1989 - june 14, 1990. Mambo ya kule kwa 'fini', duka la mbao, mizabibuni, vitofa, afande tyetyetye, co karubi, efukoy, embakassi, dunia, kilima shabaha, shimo la mungu ... so many good memories.
ReplyDeletenakumbuka siku moja, jkt oljoro ilikuwa icheze mechi muhimu ya daraja la nne dhidi ya AICC. marehemu method mogella alikuwa amesajiriwa na kuichezea AICC. at the same taim, alikuwa ni kuruta wa jkt oljoro kwa mujibu wa sheria, hivyo jkt kudai kuwa method ni mchezaji wake halali, kivumbi hapooo. guess nini kilitokea? he hee, ... method aliswekwa rumande (kwotagadi) kuepusha madhara.
nakumbuka makuruta wenzangu wakati huo, ... ulomi eliofoo upo wapi mwana? Fundi Sangia, uko wapii? Ankonaay Hhawwuu Hhaybee mu-Iraqw upo wapi mwalimuu? Fundi chochi kijana mtanashati wa wana, semaa nikusikiee? Mkaxi-man wa E-koi sema mwanangu, ... nakumbuka zile siku tulipojongo saa nane usiku na kuelekea A-town huku tukipigana vikumbo na fisi? Unakumbuka ile siku tulijibebesha bonge ya mawe huku tukiruka na kuimba (up, up, up, ... kama vile tulipewa adhabu), kumbe ilikuwa ni njia ya kujongo saa tisa mchana kweupee, kuelekea A-town?! nawasalyuti kikosi chote cha ujenzi amacho baadaye kilikuwa dispatched kumalizia mkataba kule mabogini moshi.
pongezi timu ya jkt oljoro, wadau wa kambi (833kj kama sikosei) pia tuko nyuma yenu.